sw_tn/2ch/12/07.md

16 lines
420 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Wamejinyenyekeza.
"Mfalme na viongozi wengine wa Israeli walikuwa wamejinyenyeza wenyewe," Mfalme na viongozi wengine ni maneno yanayowakilisha au yenye maana ya watu wote wa Isaraeli.
# Neno la Yahwe likamjia.
"Yahwe alisema neno lake."
# Nitawaokoa kwa hatua fulani.
Nitawaokoa wasiangamie kwa kabisa kabisa
# Hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu.
"Sitaiachilia hasira yangu yote dhidi ya Yerusalemu"