forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
846 B
Markdown
32 lines
846 B
Markdown
|
# Kauli unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anatoa maagizo maalumu kwa wanawake.
|
||
|
|
||
|
# wanaume kila mahali
|
||
|
|
||
|
"Wanaume katika kila mahali" au "Wanaume kila sehemu"
|
||
|
|
||
|
# Inua juu
|
||
|
|
||
|
"kuongeza"
|
||
|
|
||
|
# inueni mikono safi
|
||
|
|
||
|
"Mikono iliyotengwa kwa ajili ya Mungu." hii ni kwa ajili ya mtu anayekwepa dhambi
|
||
|
|
||
|
# bila kuwa na hasira wala wasiwasi
|
||
|
|
||
|
"Bila kueleza hasira na mgogoro na wengine" au bila kueleza hasira kuhusu wengine na mashaka juu ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# kwa heshima
|
||
|
|
||
|
kwa njia ambayo haitaonyesha kutokuwa na umakini kwao" au "kwa njia ambayo inaonyesha heshima ya wazi kwa watu na kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# si kwa kusuka nywele
|
||
|
|
||
|
"Kufany akazi kwa bidii ili kufanya nywelezionekane kuwasafi". Kusuka nywele ni njia moja ya mwanamke inayompa kutokuwa makini kwenye nywele zake.
|
||
|
|
||
|
# wanaokiri uungu kwa kufanya kazi njema
|
||
|
|
||
|
anataka kuonyesha kuwa wao ni mai ya Mungu kwa mambo mazuri wanayoyafanya.
|