forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
286 B
Markdown
12 lines
286 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anamuhukumu Nabali
|
||
|
|
||
|
# divai ilipokuwa imemtoka Nabali
|
||
|
|
||
|
"Nabali hakuwa amelewa tena hivyo hakuwa na furaha tena"
|
||
|
|
||
|
# moyo wake ukafa ndani yake
|
||
|
|
||
|
Nabali alishindwa kusogea kwa sababu aliogopa sana afya yake haikuwa nzuri tena yamkini kwa sababu alipata mshtuko.
|