forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
577 B
Markdown
20 lines
577 B
Markdown
|
# nyumba ya baba yako
|
||
|
|
||
|
Neno "nyumba" ni kielelezo kwa familia inayoishi ndani ya nyumba. AT "familia ya baba yako" au "wazao wa baba yako"
|
||
|
|
||
|
# mlinzi aliyesimama karibu naye
|
||
|
|
||
|
"askari wamesimama karibu ili kumlinda"
|
||
|
|
||
|
# Geuka na uwauwe
|
||
|
|
||
|
Hapa "Geuka" ina maana ya kugeuka au ageuka mbali na mfalme. AT "Nenda na kuua" au "Uua"
|
||
|
|
||
|
# mkono wake u juu ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" ni msisitizo kwa kazi iliyofanywa kwa mkono. AT "pia wanamsaidia Daudi"
|
||
|
|
||
|
# hawakunyoosha mkono wao kuwaua
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" ni msisitizo kwa kazi iliyofanywa kwa mkono. AT"hakufanya chochote kuua" au "kukataa kuua"
|