forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
380 B
Markdown
20 lines
380 B
Markdown
|
# kumpigilia Daudi ukutani kwa mkuki
|
||
|
|
||
|
kutupa mkuki wake uweze kupita kwa Daudi na kwenye ukuta
|
||
|
|
||
|
# anaweza kumwua
|
||
|
|
||
|
"Sauli anaweza kumwua Daudi"
|
||
|
|
||
|
# Mikali.... akamuambia
|
||
|
|
||
|
Mikali alimwambia Daudi
|
||
|
|
||
|
# Usipoyaokoa maisha yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "Usipoyaokoa maisha yako" ni tendo ambalo linahusu kutoroka. AT "Ikiwa hutatoroka"
|
||
|
|
||
|
# utauwawa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "mtu atakuua"
|