forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
312 B
Markdown
8 lines
312 B
Markdown
|
# Kwa nini mmekuja na mmejipanga kwa ajili ya vita?
|
||
|
|
||
|
"kwa nini mmekuja kupigana dhidi yetu?" Goliati alitumia swali hili ili kuwadhihaki Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli?
|
||
|
|
||
|
Goliati alitumia swali hili ili kuwadhihaki Waisraeli. "Mimi ni Mfilisti mkuu na ninyi ni watumishi wa Sauli"
|