forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
378 B
Markdown
20 lines
378 B
Markdown
|
# Basi
|
||
|
|
||
|
Hapa msimuliaji anaanza kutuambia sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# roho ya ubaya kutoka kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
"roho ya ubaya" ni "roho inayosababisha matatizo"
|
||
|
|
||
|
# Haya bwana wetu hebu sasa amuru
|
||
|
|
||
|
Watumishi wanamchukulia Sauli kama bwana wao.
|
||
|
|
||
|
# amuru watumishi wako walio mbele yako wamtafute
|
||
|
|
||
|
"tuamuru sisi watumishi wako tunaokutumikia tumtafute"
|
||
|
|
||
|
# yuko juu yako
|
||
|
|
||
|
"anakusumbua wewe"
|