forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
311 B
Markdown
8 lines
311 B
Markdown
|
# Utamlilia Sauli kwa muda gani, ikiwa nimemkataa asiwe mfalme juu ya Israeli?
|
||
|
|
||
|
"Acha kumlilia Sauli niliyemkataa asiwe mfalme juu ya Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Ijaze pembe yako mafuta
|
||
|
|
||
|
Pembe ilitumika mara nyingine kama chupa. Chupa ya mafuta ilitumika kwa ajili ya kumpaka mafuta mfalme, kama Samweli alivyofanya kwa Daudi.
|