forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
361 B
Markdown
16 lines
361 B
Markdown
|
# kwa sababu umekataa neno la BWANA
|
||
|
|
||
|
Samweli anaonesha wazi kuwa Sauli ameelewa kuwa hakumtii Bwana wakati ambapo waliwaacha wanyama wazuri na hakumuua Agagi.
|
||
|
|
||
|
# Umekataa neno la Bwana
|
||
|
|
||
|
"Umekataa kufanya aliloliamuru Mwana"
|
||
|
|
||
|
# Sauli akashika pindo la kanzu yake
|
||
|
|
||
|
Sauli alifanya hivi ili kumzuia Samweli asiondoke.
|
||
|
|
||
|
# pindo la kanzu yake
|
||
|
|
||
|
"mwisho wa kanzu yake"
|