forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
556 B
Markdown
20 lines
556 B
Markdown
|
# akachukua chupa ya mafuta, akayamimina juu ya kichwa cha Sauli
|
||
|
|
||
|
Katika tamaduni za Israeli nabii inapomimina mafuta katika kichwa cha mtu huyo mtu anapokea baraka toka kwa Bwana.
|
||
|
|
||
|
# Chupa
|
||
|
|
||
|
Ni chombo kidogo kilichotengenezwa kwa udongo.
|
||
|
|
||
|
# Je, Mungu hajakutia mafuta uwe mtawala juu ya urithi wake?
|
||
|
|
||
|
Samweli anajua jibu la swali hili. Anamkumbusha Sauli kuwa Bwana amemchagua yeye kuwa mfalme wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Selsa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali.
|
||
|
|
||
|
# Nitafanya nini kuhusu mwanangu?
|
||
|
|
||
|
Baba yake na Sauli anaanza kuwa na hofu juu ya mtoto wake na anataka kumtafuta.
|