forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
502 B
Markdown
20 lines
502 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi ameacha kutuelezea simulizi na anatoa taarifa ya jumla ili msomaji aelewe ni kitu gani kinafuata.
|
||
|
|
||
|
# nawe utamtia mafuta awe mkuu
|
||
|
|
||
|
Neno mkuu limetumika badala ya neno mfalme. Huyu ni mtu ambaye Bwana amemchagua awe mfalme wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# nchi ya Benyamini
|
||
|
|
||
|
"nchi ambayo watu wa kabila la Benyamini waliishi"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwenye mkono wa Wafilisti
|
||
|
|
||
|
"Ktutoka kwenye utawala wa Wafilisti"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu
|
||
|
|
||
|
"Watu wangu wanateseka na ninataka kuwasaidia"
|