forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
587 B
Markdown
20 lines
587 B
Markdown
|
# Kwa hiyo, Wafilisti walishindwa
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamaliza kuwa kutuelezea namna ambavyo Wafilisti walishindwa.
|
||
|
|
||
|
# Wafilisti walishindwa
|
||
|
|
||
|
Bwana aliwafanya Wafilisti washindwe.
|
||
|
|
||
|
# hawakuingia katika mipaka ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Wafilisti hawakuingia katika mpaka wa Israeli ili kuwashambulia.
|
||
|
|
||
|
# Mkono wa Bwana ulikuwa dhidi ya Wafilisti.
|
||
|
|
||
|
"Bwana alitumia nguvu zake dhidi ya Wafilisti"
|
||
|
|
||
|
# Miji ... kutoka kwa Israeli ikarudishwa kwa Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa na maana ya 1) "Bwana aliirudisha miji ya nchi ya Israeli ... toka Israeli" au 2) "watu wa Israeli waliweza kuidai miji yao ... toka Israeli"
|