forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
629 B
Markdown
28 lines
629 B
Markdown
|
# Mungu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi.
|
||
|
|
||
|
# kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia
|
||
|
|
||
|
Maneno "kwa namna yoyote ile" ni namna ya kuelezea jamno. "Lazima mpeleke sadaka ya hatia"
|
||
|
|
||
|
# Mtapona
|
||
|
|
||
|
"hamtaumwa tena"
|
||
|
|
||
|
# Ninyi
|
||
|
|
||
|
Ni wingi inayomaanisha Wafilisti wote.
|
||
|
|
||
|
# kwa nini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu
|
||
|
|
||
|
"Mkono" imetumika kuwakilisha nguvu za Mungu za kuadabisha. "kwa nini hajayaondoa mateso yenu"
|
||
|
|
||
|
# Majipu
|
||
|
|
||
|
Huu ni ugonjwa wa ngozi.
|
||
|
|
||
|
# Panya
|
||
|
|
||
|
Hapa anaelezea panya zaidi ya mmoja.
|