forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
597 B
Markdown
24 lines
597 B
Markdown
|
# Mungu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuwa na maana ya 1) walikuwa wakizungumza juu ya jina kamili la Mungu wa Israeli au 2) waliamini kuwa Israeli waliabudu moja kati ya miungu mingi.
|
||
|
|
||
|
# kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote
|
||
|
|
||
|
Watu wote wa mji waliogopa kuwa watakufa"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwaadhibu sana watu huko"
|
||
|
|
||
|
# Watu ambao hawakufa
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha kuwa watu wengi walikufa.
|
||
|
|
||
|
# Majipu
|
||
|
|
||
|
Huu ni ugonjwa wa ngozi
|
||
|
|
||
|
# kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni
|
||
|
|
||
|
"Watu wa mji walilia kwa sauti kubwa" Neno "mbinguni" linamaanisha miungu ya watu. "Watu wa mji wakaililia miungu yao"
|