forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
315 B
Markdown
16 lines
315 B
Markdown
|
# Basi
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaonesha mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya Dagoni
|
||
|
|
||
|
Hili ni hekalu la Dagoni mungu wa Wafilisti.
|
||
|
|
||
|
# Tazama Dagoni
|
||
|
|
||
|
"Walipatwa na mshangao walipoona Dagoni"
|
||
|
|
||
|
# Dagoni ilianguka chini kifudifudi
|
||
|
|
||
|
Msomaji anatakiwa atambue kuwa Bwana alisababisha sanamu ianguke chini wakati wa usiku.
|