forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
711 B
Markdown
28 lines
711 B
Markdown
|
# Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu ... ninapoishi?
|
||
|
|
||
|
"Hampaswi kudharau dhabihu yangu ... mahali ninapoishi."
|
||
|
|
||
|
# Mahali ninapoishi
|
||
|
|
||
|
"Mahali ambapo watu wangu huniletea dhabihu"
|
||
|
|
||
|
# kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka
|
||
|
|
||
|
Sehemu nzuri ya sadaka ilitakiwa kuchomwa kama sadaka kwa Bwana lakini makuhali walikuwa wanakula.
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya baba yako
|
||
|
|
||
|
"Nyumba" inamaanisha watu wanaokaa ndani ya nyumba. "Famila ya baba zako"
|
||
|
|
||
|
# yawapasa kwenda mbele zangu
|
||
|
|
||
|
"Kuishi kwa kunitii mimi"
|
||
|
|
||
|
# Mambo haya yapishe mbali nami nisifanye hivi
|
||
|
|
||
|
"Sitaruhusu familia yako wanitumikie daima"
|
||
|
|
||
|
# wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
|
||
|
|
||
|
"Hawatakuwa na thamani hao wanaonidharau" au "Nitawadharau hao wanaonidharau"
|