forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
677 B
Markdown
36 lines
677 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatuandaa kuonekana kwa mtu mwingine kwenye hii habari. Lugha yako inaweza kuwa na neno zurizaidi.
|
||
|
|
||
|
# Je, umeliona hili jeshi kubwa?
|
||
|
|
||
|
"Tazama hili jeshi kubwa"
|
||
|
|
||
|
# Tazama, nitaliweka katika mkono wako leo
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatuandaa kusikiataaraifa za kushangaza zinazofuatia.
|
||
|
|
||
|
# Nitaliweka katika mkono wako
|
||
|
|
||
|
"Nitakupa ushindi dhidi ya jeshi hilo"
|
||
|
|
||
|
# Ni nani?
|
||
|
|
||
|
"Utafanya hilo kwa kumtumia nani?"
|
||
|
|
||
|
# Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijana
|
||
|
|
||
|
"Ahabu akawakusanyawale maofisa vijana"
|
||
|
|
||
|
# 232
|
||
|
|
||
|
"mia mbili thelethini na mbili"
|
||
|
|
||
|
# wanajeshiwote, jeshi lote
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vinmaanisha jambo lilelile. Vimetumia kwa ajili ya kuonesha msisitizo.
|
||
|
|
||
|
# elfu saba
|
||
|
|
||
|
"7000"
|