forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
482 B
Markdown
28 lines
482 B
Markdown
|
# Neno la BWANA
|
||
|
|
||
|
"BWANA alinena ujumbe wake"
|
||
|
|
||
|
# Nno la BWANA
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linawakailisha ujumbe wa BWANA.
|
||
|
|
||
|
# utatembea katika maagizo yangu
|
||
|
|
||
|
"utaendelea kutii maagizo yangu yote"
|
||
|
|
||
|
# kuhukumu kwa haki
|
||
|
|
||
|
kutii na kufuata sheria za Mungu
|
||
|
|
||
|
# kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo
|
||
|
|
||
|
"kuwa mwangalifu na kufanya kila kitu nilichokuambia"
|
||
|
|
||
|
# nitakapozithibitisha ahadi zangu
|
||
|
|
||
|
Muungu atazithibitisha ahadi zake kwa kutimiza kile alichoahidi kufanya.
|
||
|
|
||
|
# Nitaishi
|
||
|
|
||
|
"Roho yangu itakaa hekaluni"
|