forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
850 B
Markdown
24 lines
850 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mfalme Daudi anaendelea kumwambia Sulemani jinsi ya kuingoza Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kile Yoabu ...alichonifanyia, na kike alichowafanyia
|
||
|
|
||
|
Dudi anamaanisha kitu kilekile mara mbili. "kile Yoabu ... alichonifanyia, hiyo maanisha,kile alichofanya"
|
||
|
|
||
|
# alimwaga damu vitani wakati wa amani
|
||
|
|
||
|
Yaweza kumaanisha 1) "aliwaua wale wanaume wakati wa amani kama vile ilikuwa wakati wa vita" au 2) "aliwalipizia kisasi wale wanaume wakati wa amani kwa sababu walikuwa wameuwa watu vitani"
|
||
|
|
||
|
# na kuiweka ile damu kwenye mshipi na kwenye vie viatu miguuni mwake
|
||
|
|
||
|
Yoabu alikuwa karibu sana na wale wanaume wakati alipokuwa akiuwaua kiasi kwamba damu yao ilirukia kwenye mshipi wake na kwenye viatu vyake.
|
||
|
|
||
|
# viatu
|
||
|
|
||
|
kile ambacho watu huvaa miguuni
|
||
|
|
||
|
# usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani
|
||
|
|
||
|
"hakikisha Yoabu anakufa kifo cha kuuawa kabla hajazeeka."
|