sw_tn/1co/16/intro.md

18 lines
864 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# 1 Wakorintho 16 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Paulo anaeleza kwa kifupi mada nyingi katika sura hii. Ilikuwa ni kawaida katika inchi za kale za Mashariki ya Karibu kwa sehemu ya mwisho ya barua kuwa na salamu za kibinafsi.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maandalizi ya kuja kwake
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Paulo alitoa maelekezo ili kusaidia kanisa la Korintho kujitayarisha kwa Paulo kuwatembelea. Aliwaambia waanze kukusanya fedha kila Jumapili kwa ajili ya waumini huko Yerusalemu. Alikuwa na matumaini ya kuja na kukaa pamoja nao wakati wa msimu wa baridi. Aliwaambia wamsaidie Timotheo atakapofika. Alikuwa na matumaini kuwa Apollo angewatembelea, lakini Apolo hadhani kwamba ilikuwa wakati mzuri. Paulo pia aliwaambia wamtii Stephanus. Kwa mwisho, alituma salamu kwa kila mtu.
## Links:
* __[1 Corinthians 16:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../15/intro.md) | __