forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
604 B
Markdown
20 lines
604 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaambia namna ya kukaa na waumini waliopo kanisani ambao hawataki kukosolewa juu ya matendo yao ya zinaa na dhambi zilizo wazi kwa wengine.
|
||
|
|
||
|
# yeyote aliyeitwa
|
||
|
|
||
|
" yeyote anayejiita mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# Kaka au Dada
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mshirika katika ukristo ama wanamke au mwanaume
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo nitajihusishaje kuwahukumu walio nje ya Kanisa?
|
||
|
|
||
|
Paulo anasisitiza kwamba yeye siyo hakimu wa watu walio nje ya kanisa. kwa maneno mengine "Sipaswi kutoa hukumu kwa watu ambao si wa kanisani"
|
||
|
|
||
|
# ninyi hamkuwahukumu walio ndani ya kanisa?
|
||
|
|
||
|
"Mnapaswa kuwahukumu wale wako ndani ya kanisa."
|