forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
749 B
Markdown
20 lines
749 B
Markdown
|
# Kulingana na neemaya Mungu ambayo nimepewa
|
||
|
|
||
|
"Kulingana na uwezo ambao Mungu kweli amenipa kufanya."
|
||
|
|
||
|
# Niliweka msingi
|
||
|
|
||
|
Paulo alianzisha mafundisho yake ya imani na wokovu katika Yesu Kristo, hii ilikuwa kama kuweka msingi wa jengo.
|
||
|
|
||
|
# Mwingine anajenga juu yake
|
||
|
|
||
|
Paulo anamzungumzia mtu au watu wanaowafundisha Wakorintho kuwa kama maseremala wanaofanya ujenzi juu ya msingi aliokwisha kuujenga.
|
||
|
|
||
|
# Kila mtu
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwa wafanyakazi wa Mungu kwa ujumla. "Kila mtu anayemtumikia Mungu."
|
||
|
|
||
|
# Hakuna mwingineanaweza kuanzisha msingi mwingine zaidi ya ule ambao umekwisha anzishwa.
|
||
|
|
||
|
hii inaweza kumaanisha " Tayari nimekwisha anzisha msingi ambao yeyote anaweza kujenga" au " hakuna awezaye kujenga Msingi zaidi ya ule niliojenga mimi, Paulo"
|