forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
734 B
Markdown
24 lines
734 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
paulo anasisitiza nafasi ya waumini Mbele za Mungu
|
||
|
|
||
|
# Si wengi wenu
|
||
|
|
||
|
"Wachache tu kati yenu."
|
||
|
|
||
|
# hekima katika viwango vya kibinadamu
|
||
|
|
||
|
"jambo linalokubalika kwa watu wengi kuwa ni busara"
|
||
|
|
||
|
# mlizaliwa katika ukuu
|
||
|
|
||
|
"maalum kwa sababu familia yako ni muhimu" au '"kifalme"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alichagua vitu vijinga vya dunia ili kuviaibisha vyenye hekima
|
||
|
|
||
|
Mungu alichagua kutumia watu wanyenyekevu ambao viongozi wa Kiyahudi waliamini kuwa si muhimu kuthibitisha kwamba hawa viongozihawakuwa wa muhimu zaidikuliko wengine kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu alichagua kilicho dhaifu katika dunia kukiaibisha chenye nguvu
|
||
|
|
||
|
"Mungu aliwachagua wale ambao ulimwengu hufikiri ni dhaifu ili awaaibishe wale ambao ulimwengu hufikiri wapo imara"
|