forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
491 B
Markdown
32 lines
491 B
Markdown
|
# Hadadezeri
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Zoba
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la nchi.
|
||
|
|
||
|
# magari ya farasi elfu
|
||
|
|
||
|
"magari ya farasi 1000"
|
||
|
|
||
|
# wanaume wa farasi elfu saba
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wana jeshi walio endesha farasi. "wanaume wa farasi 7000"
|
||
|
|
||
|
# wanajeshi wa miguu elfu ishirini
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wana jeshi waliyo tembea. "wanajeshi wa miguu 20,000"
|
||
|
|
||
|
# aliwajeruhiku
|
||
|
|
||
|
kulemaza mtu au mnyama kwa kumkata msuli wa nyuma ya paja
|
||
|
|
||
|
# akahifadhi
|
||
|
|
||
|
kutunza kwa matumiza maalumu
|
||
|
|
||
|
# magari ya farasi mia moja
|
||
|
|
||
|
"magari ya farasi 100"
|