forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
496 B
Markdown
20 lines
496 B
Markdown
|
# Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji
|
||
|
|
||
|
"Daudi, Walawi, na waimbaji wote walivaa mavazi safi ya majoho"
|
||
|
|
||
|
# Joho
|
||
|
|
||
|
Hii ni aina nyororo, ya kitamba kigumu.
|
||
|
|
||
|
# Kenania
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh
|
||
|
|
||
|
"Hivyo umati mkubwa wa Waisraeli walileta sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu hadi Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# upatu
|
||
|
|
||
|
Ona jinsi ulivyo tafsiri 13:7
|