sw_rom_text_reg/07/24.txt

1 line
248 B
Plaintext

\v 24 Mimi ni mtu wa huzuni! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti? \v 25 Lakini shukrani kwa Mungu kwa Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo basi. Mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu. Bali, kwa mwili naitumikia kanuni ya dhambi.