sw_rom_text_reg/07/22.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani. \v 23 Lakini naona kanuni iliyo tofauti katika viungo vya mwili wangu. Inapiga vita dhidi ya kanuni mpya katika akili zangu. Inanifanya mimi mateka kwa kanuni ya dhambi iliyo katika viungo vya mwili wangu.