sw_rom_text_reg/07/11.txt

1 line
171 B
Plaintext

\v 11 Kwa maana dhambi ilipata nafasi kwa ile amri na ikanidanganya. Kupitia ile amri, iliniua. \v 12 Hivyo sheria ni takatifu, na ile amri ni takatifu, ya yaki, na njema.