sw_rom_text_reg/07/09.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 9 Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria, lakini ilipokuja ile amri, dhambi ilipata uhai, nami nikafa. \v 10 Ile amri na ambayo ingelileta uzima iligeuka kuwa mauti kwangu.