sw_rom_text_reg/11/33.txt

1 line
196 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 33 Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake hazigunduliki! \v 34 "Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani amekuwa mshauri wake?