sw_mrk_text_ulb/06/23.txt

1 line
303 B
Plaintext

\v 23 Akamwapia na kusema, chochote utakachoniomba, nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu." \v 24 Akatoka nje akamuuliza mama yake, "Niombe nini?" Akasema, "Kichwa cha Yohana Mbatizaji." \v 25 Na mara moja akaingia kwa mfalme akaanza kusema, "Nataka unipatie ndani ya sahani, kichwa cha Yohana Mbatizaji."