sw_mrk_text_ulb/10/41.txt

1 line
257 B
Plaintext

\v 41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana. \v 42 Yesu akawaita kwake na kusema, "Mnajua kuwa wale wanaodhaniwa kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala, na watu wao mashuhuri huwaonyesha mamlaka juu yao."