sw_mrk_text_ulb/07/29.txt

1 line
194 B
Plaintext

\v 29 Akamwambia, "Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako." \v 30 Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.