sw_mrk_text_ulb/06/07.txt

1 line
281 B
Plaintext

\v 7 Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili akaanza kuwatuma wawili wawili. Aliwapa mamlaka juu ya pepo wachafu, \v 8 na kuwaamuru wasichukue chochote wanapokwenda isipokuwa fimbo tu. Wasichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni; \v 9 lakini wavae viatu, na siyo kanzu mbili.