sw_mrk_text_ulb/02/27.txt

1 line
156 B
Plaintext

\v 27 Yesu alisema, "Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu, siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato. \v 28 Kwa hiyo, Mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato."