sw_mat_text_ulb/27/30.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 30 Na walimtemea mate, na walitwaa mwanzi na kumpiga kichwani. \v 31 Wakati walipokuwa wakimkejeri, walimvua ile kanzu na kumvika nguo zake, na kumwongoza kwenda kumsulibisha.