sw_mat_text_ulb/12/05.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 5 Bado hamjasoma katika sheria, kwamba katika siku ya Sabato Makuhani ndani ya hekalu huinajisi Sabato, lakini hawana hatia? \v 6 Lakini nasema kwenu kuwa aliye mkuu kuliko hekalu yuko hapa.