sw_mat_text_ulb/08/08.txt

1 line
528 B
Plaintext

\v 8 Jemedari akajibu na kumwambia, "Bwana, mimi si wathamani hata uje na kuingia ndani ya dari yangu, sema neno tu na mtumishi wangu ataponywa. \v 9 Kwa kuwa mimi pia ni mtu niliye na mamlaka, na ninao askari walio chini yangu. Nikisema kwa huyu "Nenda' na huenda, na kwa mwingine 'Njoo' na yeye huja, na kwa mtumishi wangu, 'Fanya hivi,' na yeye anafanya hivyo" \v 10 Wakati Yesu aliposikia haya, alishangazwa na kuwaambia wale waliokuwa wakimfuata, "Kweli ninawaambia, Sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu katika Israel.