sw_mat_text_ulb/02/07.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 7 Hivyo Herode aliwaita wale wasomi kwa siri na kuwauliza ni wakati gani hasa nyota ilikuwa imeonekana. \v 8 Akawatuma Bethelehem, akisema, "Nendeni kwa uangalifu mkamtafute mtoto aliyezaliwa. Wakati mtakapomwona, nileteeni habari ili kwamba mimi pia niweze kuja na kumwabudu."