\v 31 Wakati wa mchana wanafunzi wake walimsihi wakisema, "Rabi kula chakula." \v 32 lakini yeye aliwambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi." \v 33 Wanafunzi wakaambizana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,"Je walileta?"