1 line
294 B
Plaintext
1 line
294 B
Plaintext
\v 6 Na kisima cha Yakobo kilikuwa hapo. Yesu alikuwa amechoka kwa ajili ya safari na akakaa karibu na kisima. Ilikuwa muda wa mchana. \v 7 Mwanamke Msamaria alikuja kuteka maji, na Yesu akamwambia, "Nipe maji ninywe." \v 8 Kwa sababu wanafunzi wake walikuwa wameenda zao mjini kununua chakula. |