sw_jhn_text_ulb/04/01.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 1 Basi Yesu alipofahamu kuwa Mafarisayo wamesikia kuwa Yesu alikuwa anafuasa na kuwabatiza zaidi ya Yohana, \v 2 (ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake), \v 3 alitoka Judea na akaenda Galilaya.