sw_jhn_text_ulb/16/05.txt

1 line
316 B
Plaintext

\v 5 Japokuwa, sasa naenda kwa yule aliyenituma; lakini hakuna kati yenu anayeniuliza, "Unaenda wapi?" \v 6 Kwa sababu nimesema maneno haya kwenu, huzuni imejaa mioyoni mwenu. \v 7 Hata hivyo, nawaambia ukweli: ni vyema kwenu nikiondoka; kwa maana nisipoondoka, mfariji hatakuja kwen; lakini nikienda ntamtuma kwenu.