sw_jhn_text_ulb/07/01.txt

1 line
225 B
Plaintext

\v 1 Na baada ya mambo haya Yesu alisafiri hivi katika Galilaya, kwa sababu hakupenda kwenda Uyahudi kwa sababu wayahudi walikuwa wakifanya mipango ya kumwua. \v 2 Sasa sikukuu ya Wayahudi, sikukuu ya Vibanda, ilikuwa karibu.