sw_jhn_text_ulb/06/62.txt

1 line
192 B
Plaintext

\v 62 Basi itakuaje mtakapomwona mwana wa Adamu akishuka kutoka alikokuwa kabla? \v 63 Ni Roho ndiye atoaye uzima. Mwili haufaidii kitu chochote. Maneno niliyoyasema kwenu ni roho na ni uzima.