1 line
174 B
Plaintext
1 line
174 B
Plaintext
|
\v 29 Kwa hiyo, wanafunzi, kila mmoja alivyo fanikiwa, waliamua kupeleka misaada kwa ndugu walioko Uyahudi. \v 30 Walifanya hivi; Walituma pesa kwa mkono wa Barnaba na Sauli.
|