swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/10.txt

1 line
370 B
Plaintext

\v 10 Ule malaika aka ba ambiya « Musi ogope juu mina mile tea habari ya muzari, yenye italeta furaha kwa kila mutu. \v 11 Kuna zalikwa juu yenu, siku ya leo, mu mogini ya Daudi mukombozi yeye njo Kristo, ye Bwana. \v 12 Hii njo alama ya kuyuwa mtoto: Mu taku ta mtoto wa kuzaliwa leo, bana mu vwika na kumufunika bya baridi, ban mu larisha mukibao kya kulisha banyama.