swc_luk_text_reg_Uncomplete/02/08.txt

1 line
228 B
Plaintext

\v 8 Karibu na mugini kuli kuya bachungaji bali anza kulisha ma nyama yao busiku na juwa beko mupori. \v 9 Kushituka hivi, malaika wa Bwana aka ba tokelea, na utukufu wa Bwana ika wa angazi fasi yote bali ikala, baka ogopa sana.