swc_luk_text_reg_Uncomplete/03/15.txt

1 line
361 B
Plaintext

\v 15 Vile batu balikuwa na chunga kukula ya Kristo na bugonjwa, bote bali kuwa na jiwuliza ndani ya ma roho kwa aji ya Yoane yeye niKristo. \v 16 Yoane aliba jubiya na kusema, «Miye nina ba batiza na maji lakini kuko mtu anakuya, iko na nguvu zahidi na miye na miye si na ata uwezo ya ku fungula kamba ya bilao yake, ata ba batiza na roho mulaka tifu na moto.