swc_luk_text_reg_Uncomplete/03/10.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 10 Kisha, batu wuliza Yoane, tu fanye nini? \v 11 Na aka ba jibiya na kusema, ule yote iko na nguo mbili atoshe moya na apatiye ule aana nguo, na ule iko na chakula afanye namuna.